::Home            ::Burudani               ::Chatroom            ;;Contact Us             ::About Us             ::Maintenance
Copyright @ 2010 Dullonet.com. All Right Reserved
MWILI  wa mwanaume ambaye hajafahamika jina mwenye umri kati ya miaka 30-40 umeokotwa karibu na standi ya mabasi yaendayo Morogoro huko katika eneo la Chalinze wilayani Bagamoyo mkoani Pwani.

Maiti hiyo imeokotwa majira ya saa 2.00 asubuhi jana na kisha kupelekwa kuhifadhiwa katika hospitali teule ya Tumbi Kibaha.  ..... habari zaidi


Posted by Dullonet Tanzania
Written by:  Julieth Ngarabali,Chalinze
Dullonet Tanzania | Just Call it Real Solution for News and Information

 
Habari za  Michezo na Burudani








Dullonet Tanzania - Habari Motomoto
Habari za kimataifa kwa njia ya Sauti.


Maiti yaokotwa katika standi ya mabasi.
online counter
Kona ya kupatiana maoni mbalimbali
Video za habari na matukio Mbalimbali.
.............Tanzania Website Network...........
Dullonet Related Links.
Katibu Mkuu, Wizara ya Miundombinu Injinia Omar Chambo (kulia)akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu uimarishaji wa miundombinu ya reli katika Jumuiya ya Afrika Mashariki hasa ujenzi wa reli mpya kutoka Dar es salaam - Tanzania mpaka Kigali - Rwanda na Burundi. Kushoto ni Katibu Mkuu, Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Stergomena Tax



Viunganishi Mbalimbali ndani ya Dullonet.
Makala Maalum toka vyanzo Mbalimbali.
Kama una makala yako, tutumie info@dullonet.com

Dullonetwork | Habari katika Picha na Matukio

↑ Grab this Headline Animator