Copyright @ 2010 Dullonet.com. All Right Reserved
Halmashauri kuu ya Umoja wa Ulaya imetoa mwito kwa nchi ishirini na saba wanachama zitekeleze ahadi zao kuhusu msaada wa maendeleo.
Mwaka jana, nchi wanachama wa jumuiya ya Ulaya zilitoa jumla ya Euro bilioni 49 kwa nchi maskini ambayo ilikuwa sawa na asilimia 0.42 ya pato jumla la ndani .
Jitihada zaidi zitahitajika kwa Umoja wa Ulaya kufikia lengo la msaada wa asilimia 0.56 ya pato lake la ndani mwaka huu. Kiwango hicho cha jumla kiliahidiwa kama sehemu ya kutimiza malengo ya milenia ya Umoja wa Mataifa.
Posted by Dullonet: 22.04.2010 Source:
Written by: Brusels, Ubelgiji
Dullonet Tanzania Online Instant Chatroom
Dullonet Tanzania Online Music
.............Tanzania Website Network...........
Video za habari na matukio Mbalimbali.