Dullonet Tanzania | Rostm Aziz apata pigo jingine jimboni kwake
Home                   Burudani               Chatroom            Contact Us             About Us                       Maintenance
Entertainment News
Online Radio Live
Posted by Dullonet: 22.04.2010                                                     Source:
Written by:  Mwandishi Maalum, Morogoro


Dullonet Tanzania Online Instant Chatroom
Dullonet Tanzania Online Music
Copyright @ 2010 Dullonet.com. All Right Reserved
.............Tanzania Website Network...........
Video za habari na matukio Mbalimbali.
Imeainishwa kuwa awamu ya kwanza ya utekelezaji wa mkakati wa kukuza uchumi na kupunguza umaskini  nchini MKUKUTA  umekabiliwa na changamoto nyingi  ambazo  hazina budi  kufanyiwa kazi katika awamu ya pili ya utekelezaji wa  wa mkakati huo.

Changamoto hizo zilizojitokeza  katika utekelezaji wa awamu ya kwanza  ya MKUKUTA   I pamoja na usimamizi  mbovu wa masuala ya  ya fedha ,  kutoshirikishwa kwa  wadau  toka asasi za kiraia  , miundombinu mibobu ya barabara. Na kutokuwepo utawala bora,  na  kutokuwepo usimamizi  makini kwa vyombo vya sheria.

Hayo yamebainishwa na  mktoa mada kutoka wizara ta fedha  idara ya  kuondoa umaskini  bw. Glison  timba  kwenye mdahalo  wa kitaifa  kuhusiana  maoni  na mashauriano ya  utekelezaji wa awamu  ya kwanza  ya mkukuta  kwa lengo la  kuboresha  na kufanikisha  mkukuta  awami ya pili  mdahalo uliohusisha  wadau kutoka asasi za kiraia za mkoani morogoro

Aidha  timba amebainisha kuwa pamoja na changamoto hizo zilizojitokeza  kwenye utekelezaji wa mkukuta awamu ya kwanza yapo mafanikio yaliyojitokeza  ikiwemo kupungua kwa vifo vya watoto  wachanga  kutoka  vifo 68 mwaka 2005 hadi kufikia vifo 58 mwaka  2008 kati  watoto 100 waluiozaliwa